44/100. Hakuna aliye kitovu cha dunia.

Siku nyingine ya ushindi, tunaenda kujifunza zaidi kutoka kitabu cha 21 lessons for the 21st century, ambacho kimeandikwa na Mwana historia Yuval Noah Harari. Mwandishi anasema kuwa, changamoto kubwa ya karne hii ni unyenyekevu. Wengi wamekuwa wakiamini wao ni bora zaidi kuliko wengine,kuanzia kwenye ngazi ya jamii, dini na hata taifa. Hali hii ya kujiona… Continue reading 44/100. Hakuna aliye kitovu cha dunia.