Kupenda unachofanya.

Watu wote tunaowaona wana mafanikio makubwa walianza kwa kupenda kile wanachofanya. Hakuna kikubwa ambacho kimewahi kufanywa na mtu ambaye hana mapenzi ya kweli kwenye kile anachofanya. Inasemekana kama unataka kufanikiwa kwenye maisha, kama unataka kufanya makubwa na kuacha alama hapa duniani, lazima kwanza upende kile ambacho unakifanya. Hao ambao wamefanikiwa walipokuwa wanaanza walikatishwa tamaa na… Continue reading Kupenda unachofanya.

Umuhimu wa kuwa king’ang’anizi.

Sifa pekee inayowatofautisha washindi na wale ambao wanashindwa ni uvumilivu na ung’ang’anizi. Kama kweli mtu umekadiria au umeamua kutoka ndani yako kwamba lazima nifikie mafanikio makubwa. Utajitoa kweli kwenye kile unachokifanya na utapambania hadi ufanikishe jambo hilo. Unapokutana na changamoto au kikwazo njiani, kwa vile uliamua kweli kupambana changamoto hizo haziwezi kukutoa. Lakini kama uliamua… Continue reading Umuhimu wa kuwa king’ang’anizi.