Katika safari ya kuelekea kwenye uhuru wa kifedha na utajiri mkubwa, kujitofautisha na watu wengine ni jambo linalohitajika. Kujiwekea misingi ambayo unasimamia muda wote bila kuyumbishwa na matukio yoyote yanayotokea. Unapoacha kuishi misingi uliyojijengea, ndipo unapoanguka. Kuishi misingi yako mwenyewe inakupa uhuru wa kuamua kufanya mambo yako kwa mpangilio mzuri, bila kufuata mkumbo. Misingi hiyo… Continue reading Madhara ya kusahau misingi yako.