Vitu 3 vinavyosababisha shida yoyote kwenye maisha yako.

Rafiki yangu mpendwa leo tunachunguza vitu vitatu vinavyosababisha shida kwenye maisha yetu. Mfanyabiashara, mwekezaji na mwandishi Kevin O’Leary anasema kwenye maisha kuna wanaume, wanawake na fedha. Mwandishi anasema, shida yoyote kwenye maisha, inatokana na vitu hivyo vitatu. Kama husumbuliwi na mwanamke, basi mwanaume anakusumbua. Na kama kwa mwanamke na mwanaume uko vizuri basi fedha itakua… Continue reading Vitu 3 vinavyosababisha shida yoyote kwenye maisha yako.