Habari Karibu katika Kuendelea kujifunza kutoka kitabu cha ‘the alchemist’ kilichoandikwa na Paulo Coelho. Kinachotufunza na kutuelekeza namna ya kupata hazina yetu. Santiago alifanya kazi kwa mwaka mzima kwenye duka lile, wakati anaanza lengo lake lilikuwa ni apate fedha za kununua kondoo wake wa kurudi kwenye uchungaji. Lakini baada ya mwaka, alikuwa amepata fedha nyingi… Continue reading 11/100.Usisahu ndoto, hata mambo yakiwa mazuri kiasi gani.
Category: Uncategorized
11/100.Toa thamani kwa chochote unachokifanya zaidi.
Habari Karibu tuendeleze uchambuzi wetu wa ‘the alchemist’ kilichoandikwa na Paulo Coelho. Kinachotufunza na kutuelekeza namna ya kupata hazina yetu. Baada ya Santiago kupata kazi kwenye duka, alijituma sana katika kazi yake aliwahudimia wateja vizuri na mauzo yalianza kuongezeka. Mwenye duka alifurahia sana hili, alimwambia Santiago kwamba amekaa kwenye biashara hiyo kwa miaka 30 na… Continue reading 11/100.Toa thamani kwa chochote unachokifanya zaidi.
10/100. Angalia wapi panahitaji msaada wako na toa msaada huo.
Habari Karibu tuendelee kujifunza kutoka kitabu cha ‘the alchemist’ ambacho kinamaanisha namna ya kupata hazina ya maisha yako. Santiago alitafuta mahali pa Kulala na kesho yake alipoamka aliamua kutembea kujionea maeneo mbalimbali. Ilipofika mchana alikuwa na njaa lakini hakuwa na fedha ya kununua chakula. Hivyo katika matembezi aliona duka mbali lilikuwa likiuza vyombo. Aiingia kwenye… Continue reading 10/100. Angalia wapi panahitaji msaada wako na toa msaada huo.
9/100.makosa yasikurudishe nyuma.
Habari Karibu tuendelee na kujifunza kutoka kitabu cha’ the alchemist’ kilichoandikwa na Paulo Coelho. Baada ya kuwa ametapeliwa fedha zake zote, Santiago alijikuta amesimama mwenyewe gulioni na hakuna mtu mwingine yeyote. Alifungua pochi lake na kuangalia kitu gani kilichobaki, kulikuwa na kitabu, koti na mawe mawili aliyopewa na yule mzee aliyekutana naye. Baada ya kuyaangalia… Continue reading 9/100.makosa yasikurudishe nyuma.
9/100. Utatapeliwa na kuibiwa katika safari ya kupata hazina yako.
Habari Karibu katika Kuendelea na uchambuzi wa kitabu the alchemist kilichoandikwa na Paulo Coelho. Santiago alianza safari ya kuelekea Misri ili kufika kwenye mapiramidi ambapo hazina yake ipo. Alifika Misri na hakuwa akijua kuongea kiarabu, hivyo mawasiliano yalikuwa taabu. Alienda kwenye mgahawa na hapo akakutana na kijana ambaye aliweza kuongea lugha yake. Alifurahi sana kukutana… Continue reading 9/100. Utatapeliwa na kuibiwa katika safari ya kupata hazina yako.
9/100. Lipa gharama kuanza safari ya ndoto yako.
Habari Karibu katika mchakamchaka wa kuendeleza changamoto ya siku mia moja, ikiwa leo tupo siku ya nane. Tunaendeleza pia uchambuzi wetu wa the alchemist kilichoandikwa na mwandishi Paulo Coelho. Tujifunze na kuweka katika matendo tunapoelekea katika safari ya mafanikio. Baada ya mazungumzo ya muda na mzee yule, Santiago alimwona ni mzee mwenye busara na hivyo… Continue reading 9/100. Lipa gharama kuanza safari ya ndoto yako.
8/100. Je una uhuru wa kujitegemea wewe mwenyewe?.
Habari Karibu katika uendelezo wa kuchambua na kujifunza kutoka kitabu cha the alchemist kilichoandikwa na Paulo Coelho. Leo tunaangazia safari ya kijana Santiago kwa kuwaangalia kondoo wake, alipata wazo kwamba kondoo wale walikuwa wanamwamini sana kwa sababu kila siku aliwapatia chukula na maji. Kama siku moja angegeuka kuwa katili na kuamua kuwaua wote, mmoja baada… Continue reading 8/100. Je una uhuru wa kujitegemea wewe mwenyewe?.
7/100. Je unajua kwamba ipo njia la kuishi kusudi la maisha yako?
Nakukaribisha mwanamafanikio katika Kuendeleza usomaji wetu wa kitabu cha the alchemist kilichoandikwa na Paulo Coelho. Leo tunaona wazazi wake kijana Santiago, wakimtaka awe padri ambapo ingeleta heshima kwa familia yao. Maana walikuwa Wanaishi maisha ya chini ya ukulima, ambao kila siku kazi ilikuwa ngumu na lengo ilikuwa kupata chakula. Santiago alipowatembelea wazaziwe, aliamua kuwaeleza kusudi… Continue reading 7/100. Je unajua kwamba ipo njia la kuishi kusudi la maisha yako?
6/100.Safari ya kupata hazina yako.
Karibu sana mwanamafanikio, leo tunaangazia kitabu cha the alchemist kilichoandikwa na mwandishi Paul Coelho. Hadithi hii inaeleza harakati za kijana mchungaji aitwaye Santiago ambaye alikuwa anapata ndoto za kutafuta hazina yake kwenye mapiramidi ya Misri. Anakwenda kuomba ushauri kwa mtafsiri wa ndoto ambaye anamwambia aende kwenye mapiramidi hayo. Ilikuwa ngumu sana, safari yenye kila aina… Continue reading 6/100.Safari ya kupata hazina yako.
5/100. Mambo Kumi Ya Kujifunza Kutokana Na Maisha Ya Mwanasiasa, Mwanajeshi, Na Mwandishi Winston Churchill.
Nikukaribishe sana mwanamafanikio, tukiendelea kujifunza kutoka kitabu kanuni ya mafanikio ya Dr Amani Makirita. Churchill alikuwa waziri mkuu Uingereza mwaka wa (1940-1945) alisaidia kushinda vita kuu ya pili ya dunia. Tunza nguvu zako. Kutokupoteza nguvu kwenye majuto au ugomvi na kutenga muda wa kujipa raha. Churchill alitumia muda wake kufanya yaliyo muhimu, alitenga muda wa… Continue reading 5/100. Mambo Kumi Ya Kujifunza Kutokana Na Maisha Ya Mwanasiasa, Mwanajeshi, Na Mwandishi Winston Churchill.